Hot cakes!

Wednesday, July 27, 2011

Tanzania are you Reeeeeaaaadddddyyyyyyyyy.....................!


Ni yule yule mkali wetu
Tuliemsubiri Takriban miezi kadhaa

Hatimaye ndani ya Ardhi ya Tanzania
Jijini Dae-es Salaam. 
Natumai wakazi na wapenzi wa burudani hizi mmejipanga vilivyo kuupokea ugeni huu
 Shukrani kwa Serengeti kwa kutoa support la ainayake
Sasa 
 Ticket 15,000/=
Mlangoni 20,000/=

 Sio ya kukosa mtuwangu
Haina Majotroooooooo!

Monday, July 25, 2011

Tutakuwepo Fiesta on 31st July 2011.

Imekua ni Desturi ya Watanania haswa rika la vijana kusheherekea kwa shamrashamra burudani hizi maarufu kama Fiesta! (since 2000)
Dosari inaingia, Imani inawatoka, hofu inatanda miongoni mwa watu wa rika hili na wapenzi wa burudani hii.
Kutokana na adha ya mgao mkali wa umeme ambao ndio tatizo sugu kwa sasa nchini,


Je shirika hili la pekee la kusambaza umeme Tanzania [TANESCO] litaweza kutoa huduma bila kukatika kwa umeme katika eneo husika sikuhiyo?












Tunayaangaza Maisha yako.

Tuesday, July 19, 2011

Full Entertainments Tz

 Welcome to the blog full of a lot of funnies. created special for funny makers and all whom are interested with, lets join together and Share what we have. This is presented to you by E. Entertainment Production. (The best place for all your entertainments solutions)

Followers