Hot cakes!

Tuesday, August 2, 2011

Yaliyojiri Pale Mjengoni (on 30th July 2011)

Watu kibao walifurika
 Muheshimiwa Hakusita kutoa Burudani
 Shamra shamra za aina yake zilitanda.

 Manjonjo ya jamaa yakazidi kuufanya umati wa watu kutokujutia kupoteza pesa zao kama gharama za viingilio na matumizi mengine.


 Wasindikizaji nao hawakua nyuma bwana.....
 Raia nao wakatoa shvu kwa waliowakosha
 Tukiongozwa na raisi wetu, wote tulipendeza bwana eeeeeh!
 Si wabongo, si watasha... wote walikuwepo
 Si ndo maana nakuambia hatukubaki nyuma kimavazi???



 Sometime Ni mambo ya kawaida kabisa kupoteza network maeneo kama haya....
 Hebu niambie hapa kuna kulindana kweli? sababu hadi jamaa anaburudika loh!
 Ya kesho utaikosaaaaa....????

 
Picha zimetolewa kwenye mtandao wa Global-publisher.

No comments:

Post a Comment

Followers