Dosari inaingia, Imani inawatoka, hofu inatanda miongoni mwa watu wa rika hili na wapenzi wa burudani hii.
Kutokana na adha ya mgao mkali wa umeme ambao ndio tatizo sugu kwa sasa nchini,
Je shirika hili la pekee la kusambaza umeme Tanzania [TANESCO] litaweza kutoa huduma bila kukatika kwa umeme katika eneo husika sikuhiyo?
Tunayaangaza Maisha yako.