Hot cakes!

Monday, July 25, 2011

Tutakuwepo Fiesta on 31st July 2011.

Imekua ni Desturi ya Watanania haswa rika la vijana kusheherekea kwa shamrashamra burudani hizi maarufu kama Fiesta! (since 2000)
Dosari inaingia, Imani inawatoka, hofu inatanda miongoni mwa watu wa rika hili na wapenzi wa burudani hii.
Kutokana na adha ya mgao mkali wa umeme ambao ndio tatizo sugu kwa sasa nchini,


Je shirika hili la pekee la kusambaza umeme Tanzania [TANESCO] litaweza kutoa huduma bila kukatika kwa umeme katika eneo husika sikuhiyo?












Tunayaangaza Maisha yako.

Followers